Добавить
Уведомления

WAZIRI MKUU MAJALIWA AKIONGOZA WAOMBOLEZAJI KWENYE MAZIKO YA ALIYEKUWA M/KITI WA CCM MKOA WA TABORA

Waziri mkuu wa serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania kassim majariwa amemuwakilisha rais samia Suluhu Hassan katika kushiriki mazishi ya aliekuwa mwenyekiti wa chama cha ccm mkoa wa tabora Marehemu Hassan wakasuvi aliyekutwa na umauti february 22 akiwa ofsin kwake baada ya kuugua ghafla.

12+
16 просмотров
Год назад
12+
16 просмотров
Год назад

Waziri mkuu wa serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania kassim majariwa amemuwakilisha rais samia Suluhu Hassan katika kushiriki mazishi ya aliekuwa mwenyekiti wa chama cha ccm mkoa wa tabora Marehemu Hassan wakasuvi aliyekutwa na umauti february 22 akiwa ofsin kwake baada ya kuugua ghafla.

, чтобы оставлять комментарии